Wananchi wa Msovera Wilayani Handeni Wahakikishiwa Upatikanaji wa Huduma ya Maji
Ña Mwandishi Wetu Handeni Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amewahakikishia wananchi wa Msomera wilayani Handeni kuwa huduma ya maji itapatikana kwa muda wote. Amesema, visima vya maji vilivyochimbwa vinauwezo wa kuhudumia zaidi ya mahitaji ya maji ya wakazi wa eneo hilo na kazi ya uchimbaji wa bwawa na ujenzi wa miundombinu ya maji inaendelea
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed